
Duka la rejareja lililopo Posta linatafuta Shop Sales Attendant mwenye uwezo wa kuuza dukani na pia kusaidia kutangaza bidhaa mtandaoni.
Mahali: Posta, Dar es Salaam
✅ Sifa za Mwombaji
- Awe amemaliza elimu ya Form IV au zaidi
- Awe active kwenye mitandao ya kijamii (TikTok, Instagram, Facebook)
- Awe na angalau followers 1,000 kwenye TikTok
- Awe na uwezo wa kupost na kutangaza bidhaa mtandaoni
- Mwaminifu, mwenye nidhamu na huduma nzuri kwa wateja
- Uzoefu wa mauzo ni bonus
🛒 Majukumu
- Kuhudumia wateja na kufanya mauzo dukani
- Kurekodi mauzo ya kila siku na kuandaa ripoti rahisi
- Kutangaza bidhaa kwenye mitandao ya kijamii (TikTok, Instagram n.k.)
- Kusaidia kupanga na kuendesha shughuli za duka
- Kusaidia shughuli za masoko kuongeza mauzo
💰 Mshahara: Tsh 400,000 kwa mwezi
📲 Jinsi ya Kuomba (WhatsApp tu)
Tuma maombi kwa: +255703 854 777
Weka taarifa zifuatazo:
- Jina kamili
- Umri
- Mahali unapoishi
- Kiwango cha elimu
⚠️ Tahadhari:
Waombaji watakaokidhi vigezo pekee ndio watakaowasiliana nao.
📍 Nafasi hii ni kwa wanawake wanaoishi Dar es Salaam pekee.