×

Chanuo Nchakali Afunguka Kiki ya Ndoa na YJ Kiboko – Video

Msanii wa filamu Bongo, Chanuo Nchakali, amefunguka kuhusu sakata la kiki ya ndoa kati yake na msanii wa Bongofleva, YJ Kiboko, akieleza namna suala hilo lilivyomtokea puani na kumfanya ashambuliwe vikali na mashabiki.

Chanuo amesema kiki hiyo ilisababisha mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki, huku baadhi yao wakimshambulia kwa maneno kutokana na kuamini kuwa uhusiano huo ulikuwa wa kweli.

Msanii huyo ameeleza kwa undani kilichotokea na namna alivyokabiliana na presha kutoka kwa mashabiki baada ya taarifa hizo kusambaa.

Leave a Comment