×

Vai: Tumbua ya Magufuli imepeperusha mabwana!

vaiiiStaa wa filamu za Kibongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’

Gladness Mallya na Mayasa Mariwata
STAA wa filamu za Kibongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ amefunguka kuwa kutokana na tumbua majipu ya Rais John Magufuli, wale mapedeshee waliokuwa wakiwategemea ni kama wamepeperuka kwani hawawapi fedha kama ilivyokuwa zamani.

Vai alifunguka hayo kutokana na madai kuwa, wasanii wengi wa kike wana hali mbaya na pale wanapopata mabwana wamekuwa wepesi kuchukulika hata kwa bei chee, tofauti na zamani.

“Kiukweli uongozi wa Rais Magufuli ni kiboko, hali ya maisha ni ngumu sana ndiyo maana hatuonekani kwenye kula bata kama zamani, nimeamua kufanya biashara zangu, filamu nazo hazilipi maana unaicheza kisha inakaa muda mrefu kabla ya kutoka, tumekomeshwa!” alisema Vai.

KUFAHAMU YOTE HAYA NA MENGINE, NUNUA GAZETI LA IJUMAA, LEO April 22, 2016

KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP

*********

JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU:

KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA

INSTAGRAM: @Globalpublishers

TWITTER: @GlobalHabari

FACEBOOK: @GlobalPublishers

SUBSCRIBE YOU TUBE: GlobalPublishers

GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com

HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE: @shigongotz

Leave a Comment