×

Mkuu Wa Wilaya Kinondoni Avamia Gesti!

mkuu wa wilaya kinondoni (2)

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi Salum akifika kwenye gesti hiyo.

Stori:  Salum Yassin, IJUMAA

DAR ES SALAAM: Kasi ya Magufuli! Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam, Ally Hapi Salum (pichani) amevamia gesti moja iliyopo Manzese Tip Top jijini Dar baada ya mwananchi mmoja kumpa malalamiko ya kuwepo kwa akina dada wanaojiuza ‘machangudoa’ na vibaka, Ijumaa liko bega kwa bega.

mkuu wa wilaya kinondoni (5)Ndani ya gesti hiyo.

Tukio hilo la aina yake lilijiri juzi kwenye gesti hiyo iliyopo ndani ya baa maarufu ya Lambo ambapo mkuu huyo wa wilaya alikuwa katika kamatakamata ya wafanyabiashara wanaodaiwa kuficha sukari maeneo ya Manzese zoezi ambalo pia liko nchi nzima.

IJUMAA LIMEANIKA TUKIO ZIMA

KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP

*********

JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU:

KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA

INSTAGRAM: @Globalpublishers

TWITTER: @GlobalHabari

FACEBOOK: @GlobalPublishers

SUBSCRIBE YOU TUBE: GlobalPublishers

GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com

HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE: @shigongotz

Leave a Comment