Stori: Boniphace Ngumije
MKALI katika gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Baraka Andrew ‘Barakah Da Prince’ amefunguka kuwa kati ya wasanii anaowakubali Bongo, wa kwanza ni Ali Kiba ambaye pia kwa muda mrefu alikuwa akiwaza kufanya naye kazi.
Akichonga na Uwazi Showbiz, Barakah alisema anamkubali Kiba kwa sababu ni mtu anayeuelewa muziki vizuri na hivi karibuni amemtafuta na kufanya naye kolabo kwa Produza Imma Ze Boy ya Wimbo uitwao Nisamehe ambao video yake wameifanyia Afrika Kusini ‘Sauzi’.
“Ukweli ni kwamba Ali Kiba namkubali sana ni kati ya wasanii ambao mimi ni mshabiki wake, tumefanya kolabo ambayo tunategemea kuiachia soon, watu wategemee kitu kizuri sana kutoka kwangu,” alisema Barakah Da Prince.
KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP
*********
JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU:
KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA
INSTAGRAM: @Globalpublishers
ERIC SHIGONGO INSTAGRAM: @ericshigongo
TWITTER: @GlobalHabari
FACEBOOK: @GlobalPublishers
SUBSCRIBE YOU TUBE: GlobalPublishers
GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com
HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE: @shigongotz

