×

Lungi amtumia Snura kuwabipu Waislam

LUNGI (1)Msanii wa filamu Bongo, Lungi Maulanga.

Na Hamida Hassan

Wakati Waislam wakipiga vita kitu kinachoitwa Vunja Jungu, msanii wa filamu Bongo, Lungi Maulanga ameandaa shoo hiyo huku akimtumia Mwanamuziki Snura Mushi.

snuramushiSnura Mushi

Lungi aliitonya safu hii kuwa, anajua Waislam hawapendi sherehe hizo lakini yeye ameamua kufanya ili kuwatafutia watoto yatima pesa ya futari.

“Najua Waislam watanimaindi na kuna ambao wameshaanza kuniambia nawachokonoa Waislam lakini sina nia mbaya, lengo ni kuwasaidia watoto yatima na nitafanya hivyo mwisho wa mwezi ndani ya Ukumbi wa Travertine Magomeni Dar,” alisema Lungi.

KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP

*********

JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU

KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA

INSTAGRAM: @Globalpublishers

ERIC SHIGONGO INSTAGRAM: @ericshigongo

TWITTER: @GlobalHabari

FACEBOOK: @GlobalPublishers

SUBSCRIBE YOU TUBE: Global TV Online

GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com

HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE:@shigongotz

Leave a Comment