×

Lulu Diva: Namuogopa Baraka Kama Ukoma

LULU DIVALulu Abassi ‘Lulu Diva.

Stori: Hamida Hassan, Wikienda

Dar es Salaam: Muuza nyago (video queen) maarufu Bongo, Lulu Abassi ‘Lulu Diva’ ameibuka na kudai kuwa akikutana na mkali wa Bongo Fleva, Baraka Andrew Odiero ‘Baraka Da Prince’ hawawezi kusalimiana kwani anamuogopa kama ukoma kwa madai kwamba alimchonganisha na mpenzi wake, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’.

barakaBaraka Andrew Odiero ‘Baraka Da Prince’

Akizungumza na Wikienda, Lulu Diva alisema kuwa Baraka alimpelekea Nay umbeya na kumtangazia ubaya kwa sababu waliwahi kuingia kwenye uhusiano lakini yeye aliamua kuachana naye kwa sababu aliona hawatafika mbali.

“Baada ya kuachana na Baraka, alianza kunitangazia ubaya kwa Nay kuwa sifai, kisa kikiwa ni kumpiga chini hivyo namuogopa kama ukoma,” alisema Lulu Diva.

Baraka alipotafutwa alimkana Lulu Diva kuwa hajawahi kuwa naye na wala hapendi kumzungumzia.

KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP

*********

JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU

KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA

INSTAGRAM: @Globalpublishers

ERIC SHIGONGO INSTAGRAM: @ericshigongo

TWITTER: @GlobalHabari

FACEBOOK: @GlobalPublishers

SUBSCRIBE YOU TUBE: Global TV Online

GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com

HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE:@shigongotz

Leave a Comment