×

U-tommy Boy Wamponza Feza Kessy

FEZAStori: Hamida Hassan, Wikienda

Dar es Salaam: Mtangazaji wa Redio Choice FM ambaye ni msanii Bongo Fleva aliyeiwakilisha Tanzania kwenye Shindano la Big Brother Africa (BBA) 2013 ‘The Chase’, Feza Kessy, amefunguka kuwa anahisi mavazi yake yanayomfanya kuwa na muonekano wa kiume ‘Ki-Tommy Boy’ umemfanya aogopwe na wanaume kwani ameshatoka kimapenzi mara tatu na kuachana na wanaume aliokuwa nao.

Feza alisema uvaaji wake huo aliuanza tangu utotoni na anahisi ndiyo sababu ya yeye kushindwa kudumu kwenye uhusiano kwani mwanaume huhisi siku moja atadundwa.

“Kuna mmoja aliwahi kuniambia kuwa yeye ameshindwa kuwa na uhusiano na mimi kutokana na hali hiyo, hivyo tuliachana na alioa mwanamke mwingine,” alisema Feza ambaye uchumba wake na mshiriki mwenzake wa BBA, Oneal wa Botswana ulivunjika.

 

KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP

*********

JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU

KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA

INSTAGRAM: @Globalpublishers

ERIC SHIGONGO INSTAGRAM: @ericshigongo

TWITTER: @GlobalHabari

FACEBOOK: @GlobalPublishers

SUBSCRIBE YOU TUBE: Global TV Online

GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com

HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE:@shigongotz

Leave a Comment