The House of Favourite Newspapers
gunners X

Kizza Besigye Azuiwa Kutoka Nje Ya Nyumba Yake

kizaKizza Besigye akizungumza na ofisa wa polisi.

KAMPALA: Mwanasiasa wa siku nyingi nchini Uganda, Kizza Besigye leo amezuiliwa na polisi wa Kayihura kutoka nje ya nyumba yake.kizza-1  …Baada ya kushuka garini.

Polisi hao wamemweleza mwanasiasa huyo kwamba wamepewa amri kutoka juu kwamba haruhusiwi kutoka nje ya nyumba yake.

kizza-2…Polisi wakiwa wameweka kizuizi.

Kupitia akaunti yake kwenye mtandao wa Twitter mwanasiasa huyo ameandika:

“ Happening just now, Kayihura Police officers say their orders are not to allow me out of my home at all- period! Impunity at its highest.”

Na Leonard Msigwa/MTANDAO.

 

Comments are closed.