×

Bale Azidi Kung’ara Madrid Ikiishinda Girona 4 – 1

Real Madrid forward Gareth Bale scored in his sixth successive league game to take his career total to 150 goals

His box-office third of the match was his 150th club goal and killed off Girona at the Montilivi stadium on Sunday night

GARETH BALE ameendelea kufunga mabao mara sita mfululizo wakati timu yake ya Real Madrid ilipoibamiza Girona, akiendelea kuonyesha kwamba bado timu hiyo iko ngangari hata baada ya kuondoka kwa nyota Cristiano Ronaldo.

Mchezaji huyo alifunga mabao mawili ambapo Sergio Ramos na Karim Benzema walifunga mabao mawili kwa njia ya penalti.

Juhudi hizo za Bale zilimfanya hadi jana kufikisha mabao 150 katika ulimwengu wa soka. Borja Garcia put the home side ahead with a clinical strike after good work down the right by Anthony Lozano

The Girona midfielder held his nerve to lash a shot into the top corner and put the home side ahead in the 17th minute

Garcia did not want to celebrate as mark of respect as he played for Real Madrid's reserve team between 2012 and 2015

 Replays showed Asensio went down theatrically in the box but the VAR officials were happy with the award of the penalty

Captain Sergio Ramos chipped his spot kick into the roof of the net to level for the visitors just before half-time

Karim Benzema made it 2-1 from the penalty spot in the 52nd minute and the striker grabbed his second to seal victory