The House of Favourite Newspapers

ads

Breaking: Rais Samia Achaguliwa Kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

0

Rais Samia Suluhu Hassan amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kupata kura zote1,862, sawa na asilimia 100 ya kura zote 1,862.

Wajumbe wote waliokuwa ukumbini – 1,876
Walipoiga kura – 1,862
Kura zilizoharibika – 0
Kura za ndio – 1,862 (100%).

 

Uzoefu wa miaka 34 wa kuwa Mwanachama wa CCM na uzoefu wa miaka 44 akiwa mtumishi wa Serikali vimetosha kumfanya kuwa mwanamke wa kwanza mwenye sifa na uwezo wa kukiongoza chama hicho Taifa.

 

Uwezo wake aliouonesha wa kufanya kazi kama Makamu wa Rais chini ya Dkt. John Magufuli na hatimaye kuwa Rais wa Tanzania baada ya kifo cha Magufuli vimemfanya aaminiwe kwamba anatosha kuwa Mwenyekiti wa chama hicho kinachotawala.

Leave A Reply