×

Makala

Kwa nini Magufuli aone uozo wengine wasiuone?

Tumshukuru Mungu kwa kutuamsha salama leo. Nianze kwa kusema uamuzi wa Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli kueleza kwa kina...

READ MORE

Kumbe Aliens wamekuwepo enzi na enzi!

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Mpenzi msomaji wangu wiki iliyopita tuliona ni kwa jinsi gani hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa...

READ MORE

Wastara umekiri starehe zimekuponza, badilika kweli!

KWAKO dada yangu Wastara Juma Kilowoko. Habari za siku? Vipi unaendeleaje na shughuli zako? Bila shaka Mungu anaendelea kukupigania, ni...

READ MORE

Kwa hili la wanao, Q Chillah kwa nini ujishtukie?

Mwanamuziki Q Chief. HII haitakuwa mara ya kwanza na wala sidhani kama itakuwa ya mwisho, kumzungumzia mmoja kati ya wasanii wa...

READ MORE

Bongo movies, twendeni na kasi ya Magufuli!

KWENU mastaa wa Bongo Movies. Sina haja ya kuwataja majina maana najua nikifanya hivyo, naweza nikajaza ukurasa huu. Lakini nawasalimu...

READ MORE

Nyerere hakukosea ni kweli rushwa ni adui wa haki

KWANZA kabisa nianze makala haya kwa kumshukuru Mungu kwa kutupa uhai, hakika anatupendelea sisi sote tunaovuta hewa yake sasa. Baada...

READ MORE

Simulizi ya Al shabaab: Watu watano hatari wasakwa!

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Katika mfululizo wa simulizi hii nimeeleza ni kwa jinsi gani kundi korofi na haramu la kigaidi la...

READ MORE

Kassim Kayira: Kutoka mkimbizi, babantilie, BBC hadi Azam TV

NI lazima uwe na watu ambao unataka kuwa kama wao. Hayo ndiyo maisha. Kujua njia walizopitia hadi kufika mahali unapopatamani...

READ MORE

Aliens ndiyo vibwengo kwa Afrika?

IILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Kama nilivyoeleza mwanzoni wakati naanza simulizi hii, katika uumbaji, Mungu aliumba viumbe wanaoonekana na wasioonekana. Kuna uwezekano...

READ MORE

Simulizi ya Mpoto: mke wangu ananifanya nikwepe skendo

Mrisho Mpoto MPENZI msomaji wa simulizi hii tamu na ya kusisimua ya Mrisho Mpoto, wiki iliyopita tuliishia pale alipotoboa siri...

READ MORE

Diamond, malizana na mshua bwana

Nasibu Abdul ‘Diamond’. KWAKO mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Bila shaka uko poa na unaendelea na shughuli zako...

READ MORE

Al-Shabaab waua 400 kwa miaka 2

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Mpenzi msomaji bado ugaidi ni tatizo kubwa duniani. Hivi karibuni Kundi la Kigaidi la ISIS liliua watu...

READ MORE

Simulizi ya mpoto: Atoboa siri ya muziki wake

MPENZI msomaji wa simulizi hii nzuri, tamu na ya kusisimua wiki iliyopita tuliishia pale Mrisho alipoweka wazi makampuni anayoyaongoza na...

READ MORE

Aliens ndani ya sayari ya mars?

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Mpenzi msomaji wiki kadhaa niliona ni vyema tukatoka nje ya boksi na kupata simulizi ya viumbe wa...

READ MORE

Wema, Kajala acheni utoto bwana!

Kajala Masanja. KWENU warembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ na Kajala Masanja. Habari zenu binafsi? Bila shaka ni wazima...

READ MORE

Jinsi ya kupata mtoto wa kiume au kike

WANANDOA au hata wasio na ndoa hujiuliza maswali haya. Nini nifanye ili nipate mtoto wa kike au kiume? Je, kuna...

READ MORE

Ugomvi wa Aboud Jumbe na Nyerere ulivyotetemesha nchi-5

Na Elvan Stambuli Kama nilivyosema wiki iliyopita, hatua ya kwanza iliyoanza kutikisa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ilikuwa ni pale...

READ MORE

Majaliwa Kassim; Je, VX lako lina mafuta ya kutosha?

Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa. Na Brighton Masalu Awali ya yote, niwapongeze wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa...

READ MORE

Magufuli kaanika; kero nyingi hazikufanyiwa kazi

MUNGU ni mwema sana na anastahili kuabudiwa milele. Baada ya kusema hayo nianze kwa kuandika kuwa kutokana na hotuba ya...

READ MORE

Kila mtu anauelewa wake, usiige wenzako

Na Richard Manyota Kuna wakati fulani mwanafunzi hujikuta akiingia katika mkumbo wa kuishi kama wanafunzi wenzake, ikiwemo kufuata hata ratiba...

READ MORE

Mke: Mtikila alikabwa koo hadi kufa

ELVAN STAMBULI NA MAKONGORO OGING Dar es Salaam Asimulia mazito tena, apeleka waraka kwa rais Magufuli Georgia Mtikila: “Nguo zake...

READ MORE

Sitta hajui alikotoka, atajuaje anakokwenda?

NA RICHARD MANYOTA www.richmanyota.blogspot.com +255 714 895555 UKIMTAFAKARI Samuel Sitta unaweza kumfananisha na mtu anayepiga yowe kuomba msaada baada ya...

READ MORE

Mambo matatu kwa wenye wapenzi wachunaji!

Huko mtaani ambapo imekuwa ni kitu cha kawaida kumsikia msichana akitamba mbele za wasichana wenzake kwa kusema; ‘Mimi nina pedeshee...

READ MORE

Mpoto: Afungua kampuni na kuwaweka warembo tu

MPENZI msomaji wa simulizi hii tamu na ya kusisimua ya Mrisho Mpoto, wiki iliyopita tuliishia pale alipotoa siri ya kwa...

READ MORE

Nikiiangalia Zanzibar; bado Watanzania tupo majaribuni

HAKIKA Mungu ni mwema na anastahili kuhimidiwa milele. Nasema hivyo kutokana na hali ya usalama na amani ambayo ipo nchini...

READ MORE