Shoga yangu, natumaini hali yako ni nzuri na unapambana na maisha, leo nitazungumza nawe kuhusu vyakula unavyopaswa kumwandalia mumeo vitakavyomfanya...
READ MOREILIPOISHIA Nikamueleza jinsi nilivyokutana na Faiza akiwa ameshakaa kwa miaka minne ndani ya mapango hayo. Nikamueleza na yale yaliyotokea hadi...
READ MORETunaendelea kuchambua mgogoro wa Mwalimu Julius Nyerere na Rais wa Pili wa Zanzibar, Aboud Jumbe: Uteuzi wa mtu atakayemridhi Mwalimu...
READ MORENi safu yako wewe mwenye uchu wa mafanikio, inakuhusu wewe uliyeathirika kisaikolojia unayeshindwa kufanya mambo ya kimaendeleo kutokana na kuwa...
READ MOREAsalam alaikum wapenzi wasomaji wangu, bila shaka wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa letu, kwa wagonjwa poleni Mungu...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: “Hapana mama, niko macho.” “Mbona kama hujatoka kuamka sasa hivi wewe, isijekuwa ulitoka ndiyo umerudi?” “Hapana mama,...
READ MOREHali ya sintofahamu inazuka jijini Dar es Salaam, machangudoa wengi wanaanza kuuawa katika mazingira ya kutatanisha. Hakuna anayemjua muuaji, kila...
READ MOREMpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Dorcas aliyewasili Shinyanga mjini akitokea kijijini alipokutana na watu waliokuwa wakimfahamu na kumwuliza...
READ MOREUkomo wa hedhi ni kipindi ambacho mwanamke anaacha kuziona siku zake kama ilivyokuwa tangu anavunja ungo. Kitaalamu, hiki ni kipindi...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: “Ila sasa kuna jambo moja shemeji. Wewe kuwa jasiri, usiyumbishwe. Achana kabisa na zile habari za yule...
READ MOREMachozi, jasho na damu vimemtoka kufika hapo alipo. Abeba mchanga, ametengeneza mikate ili kujisomesha. Ametimuliwa nyumbani kwao kisa muziki. Ni...
READ MOREBob rudala. Imelda mtema “NIMEKUCHAGUA wewe, uwe wanguu…wangu wa maisha, wa kufa na kuzikana, sijali maneno ya watu, wasememayo, yaliyopita...
READ MORENi wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiamini kwamba umzima na unaendelea vyema na shughuli zako za kila...
READ MORENi Ijumaa nyingine tena tunapokutana kwenye kona yetu hii, ni wajibu wa mimi na wewe kumshukuru Mungu kwa kutufanya tuendelee...
READ MORENa GLADNESS MALLYA MAFANIKIO ya mtu yeyote huambatana na simulizi nyingi za kusisimua, zinazoambatana na mikasa isiyofikirika, kama unavyoweza kuipata...
READ MOREIlipoishia wiki iliyopita. Ufunguaji wa mlango na jinsi Jerry alivyoingia uliwafanya waamini kabisa pale ndipo alipokuwa anaishi. Nao wakageuza pikipiki...
READ MOREBaada ya kuelezea kwa kirefu tiba ya kisukari, leo tunamalizia hivyo ungana nani ili uelimike zaidi. Kuna faida nyingine kubwa...
READ MOREKatibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Shariff NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.Baada...
READ MOREDHAMBI haina udogo, ukiitenda huwezi kuisafisha kwa wema bali kuiungama. Naam, hata makosa yaliyofanywa na serikali juu ya raia wake...
READ MOREAmani James a.k.a Chiba akifanya yake Makala: IMELDA MTEMA Kama umeshamuona jamaa mlemavu wa mguu ambaye ni bonge la...
READ MOREKASSIM Kayira, anaendelea kusimulia maisha yake. Wiki iliyopita aliishia pale alipotoa mfano wa kuku kutoka asubuhi kusaka chakula na kurudi...
READ MORESAIDI Chigunda maarufu zaidi kama Chegge, pamoja na Amani Temba ‘Mh Temba’ ndiyo alama ya TMK Wanaume Family, lile kundi...
READ MOREKuna watu huko mtaani hawajui mtaji wa kuishi maisha ya furaha. Wapo wanaodhani ukishakuwa na fedha basi maisha umeyapatia. Tambua...
READ MOREKWAKO ndege mnana, Esterlina Sanga ‘Linah’, uhali gani mtoto mwenye sauti ya kipekee uliyetokea kwenye Jumba la Vipaji Tanzania (THT)?...
READ MORENajua fika wapo ambao wamemaliza mwaka wa 2015 wakiwa hawajatimiza malengo yao ya kuwa miongoni mwa watu waliofanikiwa. Wewe unayesoma...
READ MOREKassim Kayira. Kassim Kayira, mtu ambaye hakuwahi kuwaza kama angeweza kuwa mtu tajiri na maarufu kama alivyo, kupitia uandishi wa...
READ MORERehema Chalamila Ray C. MIONGONI mwa wasanii ambao wanabeba nembo ya Muziki wa Kizazi Kipya upande wa wanawake, huwezi kuacha...
READ MORERais John Pombe Magufuli. LEO ni siku ya kwanza ya mwaka huu 2016, ikiwa ni zaidi ya takriban miezi miwili...
READ MOREIjumaa ijayo Watanzania wote tunaingia Mwaka Mpya wa 2016. Kwangu binafsi mwaka 2015 umekuwa wa bahati mbaya ya kukumbwa na...
READ MORERais wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli. Kasi aliyoingia nayo madarakani Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, Mheshimiwa John...
READ MOREMwaka 2015, kama ilivyo miaka mingine yote iliyotangulia, uligubikwa na matukio mengi ambayo yaligeuka gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii,...
READ MORETumshukuru Mungu kwa kutuamsha salama leo. Nianze kwa kusema uamuzi wa Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli kueleza kwa kina...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Mpenzi msomaji wangu wiki iliyopita tuliona ni kwa jinsi gani hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa...
READ MOREKWAKO dada yangu Wastara Juma Kilowoko. Habari za siku? Vipi unaendeleaje na shughuli zako? Bila shaka Mungu anaendelea kukupigania, ni...
READ MOREMwanamuziki Q Chief. HII haitakuwa mara ya kwanza na wala sidhani kama itakuwa ya mwisho, kumzungumzia mmoja kati ya wasanii wa...
READ MOREKWENU mastaa wa Bongo Movies. Sina haja ya kuwataja majina maana najua nikifanya hivyo, naweza nikajaza ukurasa huu. Lakini nawasalimu...
READ MOREKWANZA kabisa nianze makala haya kwa kumshukuru Mungu kwa kutupa uhai, hakika anatupendelea sisi sote tunaovuta hewa yake sasa. Baada...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Katika mfululizo wa simulizi hii nimeeleza ni kwa jinsi gani kundi korofi na haramu la kigaidi la...
READ MORENI lazima uwe na watu ambao unataka kuwa kama wao. Hayo ndiyo maisha. Kujua njia walizopitia hadi kufika mahali unapopatamani...
READ MOREIILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Kama nilivyoeleza mwanzoni wakati naanza simulizi hii, katika uumbaji, Mungu aliumba viumbe wanaoonekana na wasioonekana. Kuna uwezekano...
READ MORE