×

Gari Dogo Lagonga Treni Vingunguti

Gari Dogo limeigonga Garimoshi lililokuwa linatoka Dar es Salaam kuelekea Mpanda, Kigoma, Mwanza na Tabora.

 

Ajali hiyo imetokea leo Januari 8, 2020 katika eneo la Vigunguti majira ya Saa 2:00 asubuhi ambapo Dereva wa gari dogo amekimbizwa hospitalini kwa matibabu. Taarifa zaidi tunangoja kutoka mamlaka usika.

Leave a Comment