JPM ASAFIRI KWA NDEGE YA BOEING 787-8 DREAMLINER KWENDA MWANZA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli leo amesafiri na ndege ya Boeing 787-8 Dream Liner ya shirika la ndege la Tanzania (ATCL) alipokuwa akielekea Jijini Mwanza.
Comments are closed.