Stori kamili, picha na Video Install Global Pubishers App na uifungue
Android : => Play store
IOS : => APP store
Baada ya kufika msibani hapo Global Tv imezungumza na mtu anayedaiwa kuwa ndiye baba mzazi wa mtoto huyo tofauti na mtangazaji wa Clouds, Casto Dickson ambaye wengi wanamfahamu kuwa ndiye baba wa Patrick na pia Dada wa Muna amezungumza kuhusiana na kifo cha mtoto huyo.