HabariKitaifa MAJALIWA AZINDUA MADARASA SEKONDARI YA NYEHUNGE, SENGEREMA Last updated Feb 15, 2018 Share Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama vitanda katika Bweni la Shule ya Sekondari Nyehunge lililopewa jina la Dkt. John Pombe Magufuli, wilayani Sengerema leo Februari 15, 2018. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua madarasa ya Kidato cha Tano na Sita katika Shule ya Secondari ya Nyehunge wilayani Sengerema Februari 15, 2018. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella, Watatu kushoto ni Waziri wa Kilimo na Mbunge wa Buchosa, Dkt. Charles Tizeba na wapili kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Mwanza, Dkt. Anthony Diallo. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua moja ya darasa wakati alipozindua madarasa ya Kidato cha Tano na Sita katika Shule ya Secondari ya Nyehunge. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu. BUCHOSAkassimu majaliwasengeremaWaziri Mkuu Share
Comments are closed.