KUFUATIA sakata la Vyombo vya Habari kusuia kuandika habari zinazomhusu Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda miezi kadhaa sasa kwa sababu ya kuvamia ofisi za Clouds Media, leo Mkuu huyo, Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) na Mkurugenziwa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, Ruge Mutahaba walikutana kuzungumza na wanahabari kwa lengo la kumaliza mgogoro huo.
Na haya ndiyo yaliyiojiri.
Ni kweli, tukio lilitokea, na amekiri kuwa ni kweli lilitokea lakini dhana ya wakati linatokea haikuwa kama inavyochukuliwa. #TEFMakonda
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
Mahusiano yetu kati ya wanahabari na yeye (@paulmakonda) yaende vizuri kuanzia sasa. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
Mahusiano yetu kati ya wanahabari na yeye (@paulmakonda) yaende vizuri kuanzia sasa. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
Tulivyokaa tulikubalina aje hapa aseme hivyo ameyaona yaliyotokea anaomba lisijirudie tena katika utendaji wake wa kazi. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
#TEF: Mazungumzo haya tuliyaanzisha sisi Jukwaa la Wahariri baada ya ile taarifa ya kutoa adhabu kwa Mkuu wa Mkoa. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
TEF: Mwisho tukapata wazo tumpate Mkuu wa Mkoa. Tulipomueleza siku ya kwanza naye alikuwa anafikiria kama sisi. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
#TEF: Siku ya kwanza tulikutana naye kwenye msiba wa mke wa Dr. Mwakyembe tukapendekeza tukutane kwa hilo suala. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
TEF: Kwa hiyo walioanzisha mazungumzo haya ni sisi wahariri (TEF). #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Mimi ninawalaumu TEF, kama mliambiwa mimi nisije, nimekuja kufanya nini hapa? #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Sisi sote hapa TEF, Mkuu wa Mkoa na watu wote ni kama abiria kwenye lori na dereva wetu ni Rais anayeliendesha. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Dhanaya kutuita na kutuambia tuyamalize naitazama kama dereva anaona kuna watu nyuma inawezekana wanapiga kelele. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Usumbufu wao unawezekana yeye akapoteza njia hilo halina swali kwa weledi hili jambo lazima liishe kwa kauli hiyo moja tu #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Sisi inawezekana kuwa kondakta ambaye ni mteule au muajiriwa wa dereva akagombana na abiria, huo ni ugomvi binafsi. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Ugomvi ukifika kwa dereva na unasumbua ndio husema acheni vurugu nashindwa kufanya kazi yangu vizuri. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Naweza kusema hatuko sawa kwa sababu kwanza TEF haijawahi kutafuta nafasi ya kusikiliza kwa upande wangu. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Kingine Deo alikuja kama Mjumbe wa Kamati, kwa hiyo ikisemwa kuna upande mmoja tu kama alivyosema Mkuu wa Mkoa sio kweli. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Anachokisema Mkuu wa Mkoa sio mara moja au mbili anasema hili jambo halikuripotiwa, limeripotiwa Polisi Oystabay. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Sisi hatuna sehemu nyingine kuendelea kutangaza, kama nilivyosema kwenye interview sina sababu ya kuendelea kulisema. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Nilifuata taratibu ambazo ni kuripoti Polisi na kwenye Kamati iliyoundwa. Hilo ndilo lilikuwa jukumu langu. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Nikamuuliza umesikia lile, lile kimsingi ni agizo lakini nisionekane naenda kinyuma na TEF, nipeni ushauri nifanye nini? #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Nadhani kwa weledi tusimame kwenye upande huo ulivyokuwa. Haijalishi kama ataomba msamaha au hatoomba, haijalishi. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Iwapo tutamsumbua dereva wetu anayeendesha ni lazima sisi tutulie huku nyuma na kazi ziende, hilo lazima tutalifanya. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Kuna kosa, vinginevyo TEF kama organization itakuwa imefanya kosa kubwa kuandika maelezo kusema tumfungie miezi mitatu. #TEFMakonda
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Tukumbuke sio Clouds iliyosema, haijawahi kutamka kwamba vyombo vingine viingie kwenye hili, waliofanya ni TEF. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Kipi kinachoshindikana unapokutana na organization kubwa kama TEF ya kumuita Mkuu wa Mkoa ukaniita na mimi tukazungumza sehemu?
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Niliona niliseme ili nisiingilie watu wa TEF wamezungumza nini na wamefika wapi. Nisionekane mimi nafanya maamuzi yangu kivyangu.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017
RUGE: Nachoweza kusema ni kwamba, lazima mkubali mmekosea katika hili kwa sababu mlitakiwa kulizungumza na kulitatua nje. #TEFMakonda.
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 9, 2017