MAN FONGO Afunguka: “Khaa Eti NIMEBAKA, Sholo Mwamba Hana Jipya” – Video
Kufuatia kusambaa kwa taarifa zinazodai kuwa mwanamuziki wa Singeli nchini, Man Fongo, amebaka na kuhukumiwa jela miaka 30, hatimaye msanii huyo ameamua kuvunja ukimya na kufunguka kilichotokea.
Comments are closed.