The House of Favourite Newspapers

Moto wa Ajabu Wailaza Nje Familia

0

Familia mmoja Manispaa ya Musoma Mkoani Mara imelazimika kulala nje kutokana na nyumba waliyokuwa wanaishi kuwaka moto wa ajabu ambao unaunguza Nguo,Magodoro na baadhi ya thamani za ndani huku ikiacha jengo la nyumba hiuo bila madhara yoyote.

Mmoja wa wana familia amesema hawana maelezo ya kutosha kuelezea chanzo cha moto huo bali wako tayari kwa gharama yoyote kutafuta suluhu kwa yeyote anayehusika na moto huo.

Kamanda wa polisi mkoa wa Mara Longinus Tibishubwamu ameiomba familia hiyo kuondoka katika nyumba hiyo kwa muda ilikuondoa taharuki hiyo wakati uchunguzi wa kitalamu ukiendelea ilikuikoa familia hiyo.

Leave A Reply