The House of Favourite Newspapers

Mwinyi Zahera Ateuliwa Kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Polisi Tanzania

0

Aliyekuwa kocha mkuu wa klabu ya Yanga SC Mwinyi Zahera ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Polisi Tanzania inayoshiriki Ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwa mkataba wa miezi 6 mpaka mwisho wa msimu.

Hivi sasa Mwinyi Zahera anatambulishwa kwa wachezaji wa Maafande hao wa Polisi Tanzania.

Leave A Reply