×

Nafasi za Masomo Itulahumba Sec School

Itulahumba Sekondari School inawatangazia nafasi za Masomo kwa kidato cha kwanza (form 1) 2022.

Tumekuwa na Matokeo Mazuri kidato cha NNE kila Mara tazama matokeo haya kwa mwaka 2019 & 2020

Matokeo kidato cha NNE Itulahumba secondary 2020>>>

Hakika ni furaha yetu kuhakikisha mwanao anafaulu vizuri na kuendelea na elimu ya Juu!

Matokeo kidato cha NNE Itulahumba secondary 2019>>>

Kwa sasa Shule inakutangazia mzazi au mlezi nafasi za masomo kidato cha kwanza 2022 na Usahili unafanyika kila jumatatu ya juma na kufuatiwa na kozi fupi ya pre_form1 itakayoanza 04.10.2021. Kwa wahitimu wa darasa la Saba mwaka 2021 pekee.

HUDUMA ZETU

➡Shule ni ya bweni kwa wasichana na wavulana.

➡Shule ina mandhari mazuri ya kujisomea na kujifunzia.

➡Walimu waliobobea kwa masomo yote. Shule inamkuza mwanafunzi kiroho na kiakili.

 

SHULE ILIPO

Shule ipo kijiji na kata ya Itulahumba. Kwa wanaotoka barabara ya Makambako-Njombe kibao kipo upande wa kulia na wale wanaotoka barabara ya Njombe-Makambako, kibao kipo upande wa kushoto.

Ada ni nafuu sana na inalipwa kwa awamu.

Fomu zinapatikana shuleni Itulahumba, Amani English Medium Pr. School-Njombe, Kanisa la TPC Wangama na Magoma Stationary Makambako.

 

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE KWA NAMBA ZIFUATAZO:

0769200670

0769000540

0769864002

0769368843

Wahi sasa kupata nafasi ya mwanao kwa ajili ya kupata elimu bora,

“TUMEAMINIWA KUTIMIZA NDOTO ZA WATOTO WA TAIFA HILI”

 

TUTUMIE TANGAZO LA BIASHARA YAKO TUKUTANGAZIA BURE KUPITIA #GULIO
TUTUMIE HABARI, MAKALA YAKO TUTAKUPOSTIA BURE KUPITIA #JAMVINI
WahtsApp: +255 689 294 202

Leave a Comment