×

Wafanyabishara watatu Dar Wadakwa na Dawa za Kulevya

  Wafanyabishara watatu wa jijini Dar es Salaa wamefikishwa katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka moja la...

READ MORE

Mwalimu Mbaroni kwa Tuhuma za Kumpa Ujauzito Mlemavu wa Akili

POLISI Mkoa wa Kusini Pemba, imethibitisha kumshikilia mwalimu mstaafu Mohamed Kassim (60), kwa tuhuma za kumpatia ujauzito mtoto mwenye ulemavu...

READ MORE

Radi Yaua Watu 11 Wakijipiga Selfie

WATU takribani 11 wamefariki dunia hapo jana Kaskazini mwa nchi ya India baada ya kupigwa na radi wakati wakijipiga picha...

READ MORE

KMC Yatenga Dakika 180 za Mauaji

HABIB Kondo, Kocha Msaidizi wa KMC amesema kuwa kwa namna ambavyo wamejipanga katika mechi zao mbili zilizobaki hawatakubali kudondosha pointi...

READ MORE

Maandalizi ya Sensa 2022 Yaanza

Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk Albina Chuwa amesema maandalizi ya sensa ya sita nchini yanaendelea kama ilivyopangwa. Dk Chuwa ameyasema...

READ MORE

Kocha Simba Atuma Ujumbe Yanga

DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa mechi zao zilizobaki ndani ya Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe la...

READ MORE

Yanga Yataka Pointi Zote

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa utasepa na pointi sita zote ambazo wanazipambania kwa sasa kwenye Ligi Kuu Bara ili kutimiza...

READ MORE

Mgunda: Sikuwafundisha Hivyo Wachezaji Wangu – Video

  KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Juma Mgunda amesema kuwa hakuwafundisha wachezaji wake mbinu ya kutengeneza mtego wa kutoea jambo...

READ MORE

Dube Kuikosa Simba

MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Azam FC, Prince Dube anatarajiwa kuukosa mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi...

READ MORE

Simba Kupeleka Kombe Kigoma, Yanga Yatangaza Vita FA – Video

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes kitapeleka taji la Ligi Kuu Bara Kigoma,Yanga yatangaza vita FA.

READ MORE

Ifahamu Historia ya Soko la Kariakoo

Soko Kuu la Kariakoo lipo katika kiwanja namba 32 mtaani Kariakoo, katikati ya makutano ya mtaa wa Mkunguni na mtaa...

READ MORE

Aliyetunga na Kuimba #Jerusalema “Sijalipwa Hata Senti”

MWIMBAJI wa ngoma ya ‘Jerusalema’, Nomcebo Zikode amedai kujipanga kwenda mahakamani kudai haki yake kwa kuwa tangu wimbo huo uliojiozolea...

READ MORE

Mkwere Asimulia Maisha Yake

MSANII wa vichekesho Bongo, Mkwere amesema kuwa ni jambo la msingi kwa wasanii kuwekeza kwa ajili ya wakati ujao, pia...

READ MORE

Fahamu Uwezo wa Betri ya Simu ya Infinix HOT 10i

    KAMPUNI ya simu Infinix yazindua rasmi simu yenye uwezo wa kukaa na chaji kwa zaidi ya masaa 72...

READ MORE

Kukosa Penati! Bukayo, Rasford, Sancho Wakumbana na Ubaguzi wa Rangi

BUKAYO Saka, nyota wa timu ya taifa ya England baada ya kukosa penalti kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Italia...

READ MORE

Serikali Yatangaza Operesheni Punguza Mahabusu

Jeshi la Magereza Serikali imeanzisha Operesheni Maalumu ijulikanayo kwa jina la ‘Operesheni Punguza Mahabusu’ kwa lengo la kukabiliana wingi wa...

READ MORE

Ruvu Shooting: Lazima Tuwachape Namungo

OFISA Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire, amefunguka kuwa, wamejipanga kuchukua pointi tatu dhidi ya Namungo FC katika mchezo wao...

READ MORE

Mil 160 Zasajili Kipa Yanga SC

UONGOZI unaomsimamia kipa Tape Eliezer Ira, umewaambia Klabu ya Yanga kuwa unahitaji dola 70,000 (sawa na Sh 161,584,000) ili kumuachia...

READ MORE

Dk. Diallo Aomba Radhi Kauli Yake Tata

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Mwanza, Dk. Anthony Diallo ameomba radhi ‘kiaina’ baada ya kauli yake kuzua...

READ MORE

Italy Yatwaa Ubingwa wa Euro 2020

TIMU ya Taifa ya Italy imefanikiwa kutwaa Ubingwa wa Kombe la Euro2020 baada ya kuifunga Uingereza kwa jumla ya mikwaju...

READ MORE