×

Diamond, Ali Kiba, Harmonize Kupewa Tuzo Wiki Hii

Dar es Salaam, Tanzania, Julai 13, 2021. Jumla ya wasanii tisa(9) wa Tanzania watapokea tuzo wiki hii kwa kuvunja rekodi...

READ MORE

Wagonjwa 50 wa Corona Wafariki kwa Moto

Zaidi ya watu 50 wamekufa baada ya moto kuzuka katika wodi ya wagonjwa wa Corona katika hospitali nchini Iraq. Moto katika...

READ MORE

Zanzibar Yaanza Kutoa Chanjo ya Corona

Wahudumu wa afya visiwani Zanzibar wameanza kupokea dozi ya kwanza ya chanjo ya covid-19. Serikali ya Zanzibar imethibitisha kuwa dozi...

READ MORE

Uporaji, Machafuko Yaendelea Afrika Kusini

Maandamano yenye ghasia yameendelea nchini Afrika Kusini usiku kucha na Jumatatu asubuhi juu ya kufungwa jela kwa rais wa zamani...

READ MORE

Nafasi za kazi 9 Mining Commission, Technician II (mining)

  POST TECHNICIAN II (MINING) – 9 POST POST CATEGORY(S) WATER, MINING AND NATURAL RESOURCES EMPLOYER Mining Commission APPLICATION TIMELINE:...

READ MORE

Mke wa Rais wa Ghana Kurejesha Mkwanja wa Marupurupu

MKE wa rais wa Ghana anataka kurejesha fedha za marupurupu anayopatiwa tangu rais aingie madarakani mwaka 2017, baada ya wananchi...

READ MORE

Ndege ya Uganda Yaishiwa Mafuta Dar

ABIRIA wanaokwenda Uganda kwa kutumia ndege ya Shirika la Uganda Airlines walichelewa kuondoka jana jioni katika uwanja wa ndege wa...

READ MORE

Rayvanny Amposti Mpenzi Wake Paula

Kwa mara ya kwanza, staa wa Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ amemposti mpenzi wake Paula akiwa anaonekana sura vizuri. Miezi...

READ MORE

Mcheza Filamu za Ngono Maarufu Duniani Afariki Dunia

MCHEZA filamu maarufu nchini Urusi Kristina Lisina almaarufu kama KRIS THE FOX (29) usiku wa kuamkia jana amefariki kwa kile...

READ MORE

Amnyonga Mwanaye Kisa Fedha za Corona

Raia mmoja katika Wilaya ya Kalaki nchini Uganda (35), anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kumnyonga hadi kufa...

READ MORE

Gabriel Jesus wa Man City Anukia Juventus

KLABU ya Juventus, imetajwa kuwa imeendelea kukomaa na dili la kutaka kumsajili straika wa Manchester City, Gabriel Jesus. Imeelezwa kuwa,...

READ MORE

Fiston Afungasha Kila Kitu, Asepa Yanga

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Abdoul Razack, amefungasha kila kitu kilicho chake, kisha kutimka kambini, huku akijiandaa kutimkia kwao Burundi.  ...

READ MORE

Raia Alieutaka Urais Akamatwa kwa Mauaji ya Rais Haiti

Polisi nchini Haiti wanasema wamemkamata daktari ambaye wanaamini ni mshukiwa mkubwa katika kupanga mauaji ya wiki iliyopita ya Rais Jovenel...

READ MORE

Simba Kukabidhiwa Ubingwa wa Ligi Kuu Julai 18

UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kwamba utakabidhiwa ubingwa wao wa nne wa Ligi Kuu Bara katika mchezo dhidi ya Namungo...

READ MORE

Video: Hujuma Sirro, Lissu Wanyukana, Warioba Awasha Moto Katiba Mpya | Front Page

 KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa...

READ MORE

Shinyanga Yakanusha Kuzidiwa na Wagonjwa wa Corona

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dkt. Philemon Sengati, amekanusha uvumi uliosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa mkoa huo ume zidiwa...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS 👉 https://apple.co/38HjiCx Android 👉 http://bit.ly/38Lluc8...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 13, 2021

  Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Julai 13, 2021. Usipitwe na...

READ MORE

Amwagiwa Tindikali na Mwanaume Aliyemkataa

KABLA ya mkasa huu mzito, mwanadada Pramodini Roul ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 28, alikuwa mmoja wa mabinti...

READ MORE