×

Meridianbet Sloti, Sasa Kwenye Maduka Ya Meridianbet

Najua ulikuwa unawaza ni wapi utaipata Kasino karibu yako, basi Meridianbet wamejibu kuhusu mawazo yako, mchongo uko hivi ukiwa na...

READ MORE

Faini Milioni 2 Ukikaidi Kuvalisha Mifugo Yako Hereni za Kielektroniki Kabla ya Desemba 10

WIZARA ya Mifugo na Uvuvi imewataka wafugaji wote nchini kuhakikisha mifugo yao inatambuliwa kwa kuvalishwa hereni za kieletronic kabla ya...

READ MORE

Watu 92 Wauawa Katika Maandamano Nchini Iran, Mashirika ya Haki za Binadamu Yabainisha

TAKRIBANI watu 92 wameuawa kwa madai ya ukandamizaji unaofanywa nchini Iran wa kutuliza maandamano yaliyochochewa na kifo cha mwanamke anayefahamika...

READ MORE

Ndaruke Kuiongoza CCM Kibiti Miaka Mitano Ijayo

    Kwenye nafasi hiyo ambayo wagombea walikuwa watatu, Ndaruke alishinda kwa kupata kura 428 dhidi ya 385 za Malombwa...

READ MORE

Rais Samia Atoa Maagizo Matatu Muhimu kwa Mawaziri Aliowaapisha

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri kama Ifuatavyo.  ...

READ MORE

Dillian Whyte Amnyamazisha Tyson Fury Katika Mtandao wa Kijamii

BONDIA Tyson Fury ambaye alipambana pambano baina yake na Dillian Whyte mnamo Aprili 23, mwaka huu na kuibuka mshindi katika...

READ MORE

Joshua Achaguliwa Kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu CCM Taifa

Aliyewahi kuwania kiti cha Ubunge jimbo la Sengerema kupita CCM Joshua Shimiyu nimiongoni mwa wajumbe watatu waliochaguliwa na mkutano mkuu...

READ MORE

Mayele Awania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi Septemba wa Afrika

MSHAMBULIAJI wa klabu ya Yanga, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Fiston Mayele amewekwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania tuzo...

READ MORE

Italia na Tanzania Zafanya Jukwaa la Biashara na Uwekezaji

KATIKA Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kati ya Italia na Tanzania lililofanyika leo Zanzibar ambapo Mgeni Rasmi Alikuwa Makamo wa...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la Championi leo Sep-19, Kwa nusu bei tu   Gazeti la Championihttps://bit.ly/3B5KKcE AU Championihttps://bit.ly/3B5KKcE  ...

READ MORE

Nafasi za Kazi 67 Kwa Madereva – RURAL WATER SUPPLY AND SANITATION (RUWASA)

POST DRIVER GRADE II – 67 POST EMPLOYER RURAL WATER SUPPLY AND SANITATION APPLICATION TIMELINE: 2022-09-25 2022-10-08 JOB SUMMARY NA...

READ MORE

Tigo Yazindua Wiki ya Huduma kwa Wateja 2022 Jijini Mwanza

Tigo Tanzania yazindua Wiki ya Huduma kwa Wateja 2022 jijini Mwanza. Sherehe hizo zitajumuisha shughuli mbalimbali zitakazo wanufaisha wateja wa...

READ MORE

NBC Yaahidi Kuwekeza Katika Mifumo ya Kibenki ya Kidijitali ili Kuongeza Tajriba kwa Wateja

BENKI ya NBC imeahidi kuwekeza zaidi katika huduma za kibenki za kidijitali ili kuongeza urahisi wa upatikanaji wa huduma kwa...

READ MORE

Benki ya NCBA Kutumia Ubunifu wa Kidigitali Kuboresha Huduma Kwa Wateja

    Dar es Salaam, tarehe 3 Oktoba. Benkiya NCBA Tanzania Limited (NCBA) imeendelea kusisitiza juu ya uwekezaji wake katika...

READ MORE

Equity Bank (T) Imezindua Rasmi Wiki ya Huduma kwa Wateja

    Dar es Salaam, Jumatatu tarehe 3 Oktoba 2022. Benki ya Equity  (T) imezindua rasmi wiki ya huduma kwa...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Afanya Mabadiliko Bashungwa Ateuliwa Waziri wa Ulinzi, Kairuki Tamisemi

Rais Samia amefanya mabadiliko hayo kwa kumteua Innocent Lugha Bashungwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Pia,...

READ MORE

Waziri Mkenda Aongoza Harambee Ununuzi Kiwanja Cha Kanisa, Mil 82.8 Zapatikana

Mbunge wa Jimbo la Rombo Mkoani Kilimanjaro ambaye pia ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda...

READ MORE

Yanga Wavujishiwa Siri za Ibenge Al Hilal, Wapewa Mbinu ya Kuwamaliza Mapema

KUELEKEA katika mchezo wa raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha Msaidizi wa AS Vita, Roul Shungu, amewapa...

READ MORE

Nay wa Mitego Ft Jux – Starehe Yako (Offcial Music Video)

 Staa wa muziki wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, ameachia video zake mbili kwa mpigo wa Starehe...

READ MORE

Watu 127 Wafariki Katika Mkanyagano Katika Mechi ya Soka Indonesia – (Picha +Video)

Watu 127 wamekufa na wengine 180 kujeruhiwa Oktoba 1, 2022 katika mkanyagano wakati wa mechi ya soka nchini Indonesia. Inaarifiwa...

READ MORE