The House of Favourite Newspapers

JIDE ROCKSTAR4000 KILA MTU KIVYAKE

0
Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au Jide.

 

STAA mkongwe kwenye Muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au Jide amemaliza mkataba wake na Lebo ya Rockstar4000 ambayo pia husimamia kazi za msanii Ali Kiba.

VIDEO:Amber Lulu Anaswa Laivuuu Na Msanii Wa Burundi, Gaga

Hivi karibuni Jaydee ambaye kwa sasa ameanza kukiki tena kwenye spika za ‘wana’ kupitia songi lake la I Miss You ambalo yeye amechana na kuimba, alisikika akikiri kumaliza project yake na Rockstar4000 iliyosimamia shoo ya Naamka Tena na sasa yupo mwenyewe.

…Akifanya yake.

“Kwa sasa sipo Rockstar, nimemaliza ile project (Naamka Tena Concert) na Seven (Mosha) kwa hiyo kwa sasa sipo kule,” alisikika Jaydee.

Championi Jumamosi halikulaza damu kwani lilimvutia waya Seven ambaye ni meneja wa lebo hiyo na akakiri kuwa Jide amemaliza mkataba: “Ni kweli kuwa Jide tumemalizana kwani tulikuwa na mkataba naye wa mwaka mmoja na sasa umeisha hivyo hayupo kwenye Lebo ya Rockstar4000

STORI:LUCY MGINA | CHAMPIONI JUMAMOSI

YOUNGE Dee Afunguka Kuhusu Raisi Magufuli na Sakata la Tundu Lissu

Leave A Reply