The House of Favourite Newspapers

Spoti Xtra Lazidi Kuchanja Mbuga za Burudani Jumapili

Msomaji wa Spoti Xtra akifurahia gazeti hilo la michezo ya burudani jijini Dar es Salaam leo asubuhi chini ya mmoja wa maofisa wa mauzo wa gazeti hilo.
Ni burudani tupu kwa wasomaji wa gazetila Spoti Xtra waliokutwa wakilisoma jijini Dar es Salaam leo.
Mkazi wa Dar es Salaam akiwa amejimbia akili zake zote katika kulisoma gazeti la Spoti Xtra.
Madereva wa bodaboda wakiyachangamkia magazeti ya Spoti Xtra walipofikia na muuzaji wa magazeti hayo.

KAMA kawaida ya siku za Jumapili, gazeti maarufu la Spoti Xtra liliendelea kuchangamkiwa na wananchi kutokana na habari zake mbalimbali za michezo na burudani ambapo timu nzima ya gazeti hilo ilipita Magomeni, Tabata, Segerea, Ukonga, Gongo la Mboto na kumalizia Uwanja wa Taifa ambako wananchi walilinunua kwa wingi.

Katika vuguvugu la kulipenda gazeti hilo, wasomaji waliomba liongeze nakala kwani kila mara linawahi kwisha mapema na kushindwa kuwafikia wasomaji wa maeneo mengine mengi katika jiji hili na sehemu mbalimbali nchini.

USIKOSE KUJIPATIA NAKALA YAKO YA SPOTI XTRA AMBALO LIKO MTAANI KILA JUMAPILI AMBAPO LIMESHEHENI UHONDO WA MICHEZO NA  BURUDANI KWA SH.  500 TU.

(PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL)

Wastara Amwaga Machozi Airpot, Akiondoka India Kutibiwa!

Comments are closed.