×

Spoti Xtra

Rais wa Senegal Atangaza Mapumziko Baada ya Kushinda AFCON – Video

Dakar, Senegal — Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye ametangaza mapumziko ya kitaifa kufuatia ushindi wa kihistoria wa timu ya...

READ MORE

Vikosi Vikubwa Barani Ulaya Vitakutana London Leo Usiku

Vikosi viwili vyenye kiwango bora zaidi barani Ulaya vitachuana usiku wa kesho jumatano tarehe 26 kwenye Ligi ya Mabingwa Ndani...

READ MORE

Leo Ni Siku ya Kuzaliwa kwa Wayne Rooney

Leo amezaliwa nyota hatari zaidi kuwahi kutokea katika kikosi Cha Manchester United na timu ya taifa ya England WAYNE MARK...

READ MORE

Álvarez Aamua Kuachana na Atlético, Barca Yaongoza Kinyang’anyiro

Mshambuliaji wa Argentina, Julián Álvarez, ameripotiwa kukubali kuondoka Atlético Madrid mwaka 2026 ili kusaka maendeleo zaidi katika taaluma yake ya...

READ MORE

Dembele Alia na Mshahara Mdogo Baada ya Kushinda Ballon d’Or

Nyota wa Paris Saint-Germain, Ousmane Dembele, ameiomba klabu yake kumpa mkataba mpya na ongezeko la mshahara linalolingana na hadhi yake...

READ MORE

Folz Awaahidi Mashabiki Raha Kesho, Kapombe Atoa Onyo

Kesho macho yote yataelekezwa kwenye Uwanja wa Taifa, ambapo watani wa jadi Simba SC na Young Africans SC watakutana katika...

READ MORE

Kocha Fadlu Afafanua Mustakabali wa Ladack Chasambi

Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, ametoa msimamo wake wazi juu ya kiungo mshambuliaji, Ladack Chasambi, akibainisha kuwa hayupo katika...

READ MORE

Ruto Aahidi TSh 48 Milioni kwa Kila Mchezaji Harambee Stars Wakishinda Zambia

Rais wa Kenya, William Ruto, leo amekutana na kikosi cha Harambee Stars na kutoa ahadi nono kuelekea mechi ya mwisho...

READ MORE

Nani Bingwa wa LALIGA 2025/26?

Wakali wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa leo hii unaweza ukabashiri nani anaweza kuwa bingwa wa Laliga. Kila timu imepewa ODDS...

READ MORE

CAF Yatangaza Vilabu 75 Bora Afrika 2025, Klabu 3 za Tanzania Zatamba

Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) leo limetoa orodha ya vilabu 75 bora kwa mwaka 2025, ikizingatia viwango...

READ MORE

Mfungaji Namba 1 Aondoka? Ahoua Apigwa Bei Nzuri na JS Kabylie

Inaelezwa kuwa kiungo mshambuliaji wa Simba SC raia wa Ivory Coast, Jean Charles Ahoua kwenye rada za Klabu ya JS...

READ MORE

Hato Akamilisha Dili Na Chelsea Majira Haya

Kiungo wa kati wa klabu ya AFC Ajax na timu ya taifa ya Uholanzi, Jorrel Hato, amekamilisha usajili wake na...

READ MORE

Wachezaji wa Liverpool Wafanya Maandalizi ya Kiroho Kabla ya Msimu Mpya Nchini Tokyo

Tokyo, Japan – Katika tukio lisilo la kawaida kwenye kalenda ya maandalizi ya timu, wachezaji wa Liverpool wameanza siku yao...

READ MORE

“Yanga Yamnasa Nahodha wa Simba?” – Ali Kamwe Afunguka Suala la Zimbwe Jr

WAKATI Yanga SC wakitajwa kukamilisha kwa asilimia 100 dili la Mohamed Hussen Zimbwe Jr aliyekuwa beki wa Simba SC na...

READ MORE

Arsenal Yamnasa Viktor Gyökeres kwa Dau la Bilioni 300

Klabu ya Arsenal mbioni kufanikisha azma yake ya muda mrefu, ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji hatari kutoka Sweden, Viktor Gyökeres,...

READ MORE

Zimbwe Jr Atoa Ishara Za Kuondoka Simba, Yanga Waingia Mitaani!

NAHODHA wa Simba SC, Mohamed Hussen Zimbwe Jr kuna hatihati huenda akaondoka ndani ya kikosi hicho baada ya kanadarasi yake...

READ MORE

Vita ya Yanga na Simba Kumsaka Offen Chikola Yafika Ukingoni

MABINGWA mara 31 ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC inatajwa kuwa imefikia makubaliano na kiungo mshambuliaji wa Tabora...

READ MORE

Ancelotti Ahukumiwa Mwaka 1 Gerezani Na Faini Ya Billioni 1

Kocha wa zamani wa Real Madrid, Carlo Ancelotti, amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja gerezani na kutozwa faini ya €386,000 (zaidi...

READ MORE

Job na Yanga Mambo ni Moto! Hatima Yake Kusubiriwa

INAELEZWA kuwa mabosi wa Yanga SC wamefanya mazungumzo na beki wa Yanga SC, Dickson Job kuhusu kuongeza kandarasi mpya kuendelea...

READ MORE

Fainali ya Yanga, Singida Black Stars Kupigwa New Amaan

FAINALI ya Kombe la Shirikisho la CRDB kati ya Yanga dhidi ya Singida Black Stars imepangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa...

READ MORE

Kocha Yanga Aiweka Kando Kariakoo Dabi Ligi Kuu Bara

KOCHA Mkuu wa Yanga Miloud Hamdi amesema kuwa haufahamu mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao wa Kariakoo Dabi badala yake...

READ MORE

Beki Wa Kazi Yanga Deni Lake Limekia Hapa

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Ibrahim Bacca deni lake la mabao...

READ MORE

Yanga: Tunamshusha Mshambuliaji, Watasema Yote

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa upo kwenye hesabu za kumshusha mshambuliaji wa kazi atakayeongeza nguvu katika kikosi hicho jambo...

READ MORE

Kisa Medeama, Gamondi atoa maagizo mazito Yanga

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuwakabili wapinzani wao Medeama FC ya Ghana, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ametoa maagizo...

READ MORE

Chama Akabidhiwa Waarabu Ligi ya Mabingwa Afrika

KUTOKANA na kasi aliyoanza nayo kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy akitokea benchi, kuna uwezekano...

READ MORE

Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi Abadili Mfumo leo dhidi ya Medeama

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, unaweza kusema amejipata baada ya kubadilisha mfumo wake kutoka kutumia mabeki wa kati wawili...

READ MORE

Pacome Ashusha Presha Yanga, Aitaka Robo Fainali CAF

KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ameshusha presha ndani ya kikosi hicho baada ya awali kupata majeraha ya bega, lakini...

READ MORE

Simba Waishtukia Wydad, Mipango Mipya Yasukwa

  UONGOZI wa Simba, umesema kuwa, kikosi chao kitaingia uwanjani kucheza dhidi ya Wydad Casablanca, kwa tahadhari kubwa ili wafanikishe...

READ MORE

Mabosi Simba Wacharuka, Waanza na Jean Baleke, Mambo ni Moto

SIMBA inaangalia uwezekano wa kumpa mkataba wa kudumu mshambuliaji wake, Jean Baleke, kwa ajili ya kukiimarisha kikosi chao. Baleke hivi...

READ MORE

Aziz Ki Apewa Mkataba Mnono… Tabu iko Palepale!

TABU iko palepale! Ndivyo unavyoweza kusema, kwani kuna uwezekano mkubwa balaa la Stephane Aziz Ki likaendelea kuzitesa timu nyingi Bongo,...

READ MORE

Yanga: Tuleteeni Hao Al Ahly Tuwaoneshe Ligi ya Mabingwa Afrika

UONGOZI wa Yanga, umesema kuwa, umetumia mchezo wa Simba kuwasoma wapinzani wao, Al Ahly ambao watakutana katika michezo ya Ligi...

READ MORE

Bosi Avujisha Siri Nzito Simba… Watamba Kuuchukua Ubingwa wa Ligi Kuu

AHMED Ally ambaye Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, amesema ili wajihakikishie nafasi kubwa ya kuuchukua ubingwa wa Ligi Kuu...

READ MORE

Kocha AS Vita Awapa Angalizo Simba, Yanga Michuano ya Kimataifa

KOCHA Msaidizi wa AS Vita ya DR Congo, Roul Shungu, amefunguka kuwa, Simba na Yanga zina uwezo wa kufika mbali...

READ MORE

Simba Yatamba Kuendeleza Rekodi Yake leo dhidi ya Singida Fountain Gate

KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira, amesema kuwa wanahitaji kuendelea na rekodi zao za kupata matokeo mazuri kwenye mechi za...

READ MORE

Simba Watamba Kufuzu Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos

UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kuwa, mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos, ni muhimu kufanikisha...

READ MORE

Kocha Roberto Oliveira ‘Robertinho’ Aipeleka Simba Mafichoni

KUANZIA wiki hii, kikosi cha Simba chini ya Kocha Roberto Oliveira ‘Robertinho’, kimepanga kuutumia Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi,...

READ MORE

Baleke Anautaka Ufungaji Bora Ligi Kuu Bara msimu huu

  MSHAMBULIAJI wa Simba, Mkongomani, Jeane Baleke, ameahidi kuendelea kufunga mabao katika kila mchezo ili afanikishe malengo yake ya kufikisha...

READ MORE

Stephane Aziz Ki na Khalid Aucho Waliamsha Rwanda

MAJINA ya mastaa watatu wa Yanga, Djigui Diarra, Stephane Aziz Ki na Khalid Aucho, ndio gumzo hivi sasa, wakisubiriwa kwa...

READ MORE

Kiungo Mpya Ajiondoa Simba Arejea Nyumbani Kwao, Uongozi Wafunguka

UONGOZI wa Simba, upo katika mipango ya kumruhusu kiungo wao, Muivory Coast, Aubin Kramo, kurejea nyumbani kwao kwa ajili ya...

READ MORE

Hesabu Za Simba CAF Hizi Hapa Dhidi ya Power Dynamos Ligi ya Mabingwa

HUKU wakijiandaa kuvaana na Power Dynamos katika mchezo wa kwanza wa hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, uongozi...

READ MORE