Afisa tarafa matatani kwa ubakaji
Binti anayedaiwa kubakwa.
Gladness Mallya, RISASI MCHANGANYKO
PWANI: Afisa Tarafa mmoja mkoani hapa, ameingia matatani akituhumiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa la sita (jina linahifadhiwa) ndani ya ofisi yake na kumsababishia maumivu…
