Moto waunguza Genge la Mama Lishe, Nyumba ya Mama JB yanusurika kuungua Sinza
MCHANA wa leo, moto umeunguza genge la mama lishe aliyejulikana kwa jina la Mama Wambura lililopo Sinza Mori na kunusurika kuungua nyumba iliyodaiwa kuwa ya mama mzazi wa mwigizaji wa Bongo Muvi, Jacob Steven ’JB’ iliyokuwa jirani na…
