KOCHA wa zamani wa Simba SC, Patrick Ausems leo Februari 9, 2021 ametambulishwa rasmi kuwa Kocha mkuu wa klabu ya AFC Leopards ya nchini Kenya.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️…
KOCHA mkuu wa Simba, Patrick Aussems ameutaka uongozi wa timu hiyo kutuma watu ambao wataenda kuwasoma wapinzani wao, Mbabane Swallows kwa lengo la kupata urahisi kwenye mechi la Ligi ya Mabingwa Afrika.
Simba watacheza na Mbabane…
KUTOKANA na Simba kutengeneza nafasi nyingi katika mechi wanazocheza ligi kuu na kushindwa kuzitumia vizuri, Kocha Mkuu wa Simba, raia wa Ubelgiji, Patrick Aussems, amesema kuwa anahitaji wiki mbili kuweza kusuka kikosi bora.
…