Baby J: Siumii kukwapuliwa bwana, mwanangu ananipa furaha
WANAOSEMAGA kidonda cha mapenzi hakiponi wako wapi? Baada ya kudaiwa kukwapuliwa bwana na dada wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Diamond, Esma, mwanamuziki maarufu visiwani Zanzibar, Jamila Abdalah ‘Baby J’ amesema mwanaye aliyebaki naye…
