×

Tag: Celebrities

Daktari: Mama Mondi Ana Gonjwa Baya

PICHA ya chumbani aliyoiposti mitandaoni mama mzazi wa msanii, Nasibu Abdul ‘Diamond’ Sanura Kassim ‘Mama D’ ikionesha akiwa kitandani na...

READ MORE

Mamilioni Ya Kanumba Yazua Tafrani Tena – Video

NGOMA nzito! Ndivyo unavyoweza kutamka kutokana na mamilioni ya aliyekuwa staa wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba kuzua tafrani tena...

READ MORE

CHUCHU: Mimba 6 za Ray ziliharibika

DAR: Mwanamama mwigizaji wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans amefunguka kuwa, kabla hajampata mtoto wake, Jaden Vincent na mwigizaji mwenzake,...

READ MORE

Bonga Aachana na Harmonize, Atimkia Lykos Empire – Video

Prodyuza wa Harmonize almaarufu kwa jina la Bonga leo ametangaza rasmi kuachana na msanii huyo na kujiunga lebo ya Lykos...

READ MORE

Maskini wema !

KILA kukicha hali ya staa wa Bongo Muvi inazidi kubadilika kutokana na kuzidi kukondeana jambo ambalo linazidi kuwashtua wengi na...

READ MORE

Uwoya: Msami anapenda tu kampani yangu

BAADA ya hivi karibuni mwanamuziki wa Bongo Fleva, Joseph Msami kueleza kuwa hawajawahi kuachana kimapenzi, msanii wa Bongo Muvi, Irene...

READ MORE

Tiffah, Nillan kumponza Mondi

WATOTO wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Latifah Nasibu ‘Tiffah Dangote’ (4) na mdogo wake, Nillan Nasibu...

READ MORE

Nandy aonesha jeuri ya fedha

MWENYE nacho ataongezewa! Ndivyo msanii Bongo wa Fleva, Faustina Charles Mfinanga ‘Nandy’ (26), anavyozidi kuonesha jeuri ya fedha.  Usikumbuke mjengo...

READ MORE

Tahiya: Hamisa hawezi kuwa mke mwenzangu

MREMBO wa mjini, Tahiya John amemvaa kwa mara nyingine mwanamitindo na msanii wa Bongo Fleva, Hamisa Mobeto na kusema kuwa...

READ MORE

TECNO ilivyosherehekea Siku ya Wapendanao na wateja wake

Katika kusherehekea siku ya Wapendanao, kampuni ya simu za mkononi TECNO ilisherehekea siku hii maarufu ya Valentine na wateja wake...

READ MORE

Mobeto: Mniache sina mwanaume

MWANAMAMA anayebeba ‘taito’ tatu kwa mpigo ya uigizaji, mwanamuziki na mwanamitindo, Hamisa Mobeto amesema hana mwanaume na hahitaji usumbufu.  Akizungumza...

READ MORE

Ukweli Harmo kumtema Sarah

HABARI inayofukuta huko mitandaoni zinadai kwamba mkali wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ au Harmo amemwagana na mkewe Sarah, lakini...

READ MORE

Ndoa ya muna yazua utata

BAADA ya hivi karibuni habari kuzagaa kuwa msanii wa filamu ambaye alikuwa mlokole, Rose Alphonce ‘Muna’ amebadili dini na kuolewa...

READ MORE

Kidoa afungukia ujauzito

BAADA ya kudaiwa ni mjamzito kwa sasa, mwanadada Asha Salum ‘Kidoa’ ambaye alijipatia umaarufu kupitia uvideo queen na sasa amegeukia...

READ MORE

Miaka 2 baada ya kuachana…Zari aanza vita mpya na Mondi

  PASI na shaka, mzazi mwenza wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss...

READ MORE

Davina: Shilole ni mwanamke na nusu

MSANII wa Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’ amefunguka kuwa anamkubali sana msanii mwenzake Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kwa sababu ni mtu...

READ MORE

Ray C ajitoa ufahamu ughaibuni

WAKATI Bongo watu wakimisi picha za utupu za mastaa kutokana na sheria ya makosa ya mtandao kung’ata wengi, Rehema Chalamila...

READ MORE

 NICKI MINAJ MATATANI

MWANADADA anayetikisa vyema katika gemu la Hip Hop kutoka pande za Marekani, Onika Tanya Maraj-Petty maarufu kama Nicki Minaj, amejikuta...

READ MORE

Tanasha: Mondi ataniua

MZAZI mwenza wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ au ‘Mondi’, Tanasha Donna amefunguka mambo mengi likiwemo jambo...

READ MORE

Aunt afunguka skendo ya fumanizi

HABARI kubwa wikiendi iliyopita ni skendo ya fumanizi matata lililofanywa na staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel.  Kwa mujibu...

READ MORE

Tatizo la Dimpoz lilianzia harusi ya Kiba

STAA wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amesema tatizo lake la kuumwa baada ya kudaiwa kulishwa sumu lilianzia kwenye...

READ MORE

French Montana akanusha kupigwa na 50 Cent

IKIWA zimepita siku kadhaa tangu kusambaa kwa tetesi kuwa rapa toka pande za Marekani French Montana kashushiwa makonde ya nguvu...

READ MORE

Kampeni ya kumng’oa Tanasha kwa Mondi yashika kasi

DUNIA ina mambo! Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na yanayoendelea kwenye familia ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ au...

READ MORE

Kumbe Iyobo hakummisi kabisa Aunt

DANSA kiwango ndani ya Wasafi Classic Baby (WCB), Moses Iyobo amefunguka kuwa hakuwahi kummisi mzazi mwenziye ambaye ni staa wa...

READ MORE

Siri Mondi kumtosa Tanasha yafichuka!

WIKIENDI iliyopita gumzo kubwa lilikuwa ni shoo ya uzinduzi wa albam fupi ya muziki (EP) ya mrembo Tanasha Donna Oketch...

READ MORE

Kigogo Atajwa Mjengo wa Mobeto

DAR: MJINI utanyimwa chakula lakini umbea utaupata bure, Mrembo Hamisa Mobeto amevumishiwa skendo kwamba mjengo mpya ‘aliyojimwambafai’ kuhamia hivi karibuni...

READ MORE

Aunt, Iyobo Wafanya Tambiko Mapangoni

TANGA: MUIGIZAJI Aunt Ezekiel na mzazi mwenziye Moses Iyobo wamefanya ziara kwenye mapango ya Amboni jijini Tanga ambapo pamoja na...

READ MORE

VANNESA: Niombeeni, nimebakisha ndoa tu!

MWANADADA Vanessa Mdee ‘Vee Money’ amefunguka vigezo anavyovitaka kwa mwanaume anayetaka awe baba wa watoto wake ambapo amesema mwanaume aliyenaye...

READ MORE

Petit atoa somo la mahusiano

MENEJA wa wasanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ahmed Manungwa ‘Petit Man’ amesema kwamba haoni kama kuna umuhimu wa kuyaanika...

READ MORE

Batuli afichua siri ushosti wake na Wema

MREMBO Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ amefichua siri kuhusu urafiki wake na muigizaji Wema Sepetu kuwa ulirudi muda mrefu ila watu hawakufahamu. ...

READ MORE

Kufuru ya Pesa… Mondi Hakamatiki

KAMA ulikuwa unawaza kuna mtu kwenye tasnia ya Bongo Fleva wa kushindana naye mpaka sasa, unajiongopea! Mkali wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Hawa: Naogopa kuumizwa

  HAWA Said almaarufu kama Hawa Nitarejea ni miongoni mwa wasanii ambao walifanya vizuri kipindi cha nyuma hasa baada ya...

READ MORE

Aunt: Ushosti wa Wema, Batuli haunihusu!

STAA wa Bongo Muvi; Aunt Ezekiel amesema kitendo cha shosti wake wa kitambo Wema Sepetu kurudisha urafiki wake kwa muigizaji...

READ MORE

Tunakosea Kumlinganisha Young Killer na Young Lunya

IMEKUWA ni jambo jema sasa kwa mashabiki wengi na vyombo vya habari hususan redio na televisheni huwa wanajaribu kuwalinganisha wasanii...

READ MORE

Tanasha kuwakutanisha Diamond, Harmonize!

  Mwanamuziki anayekuja resi kwenye muziki wa Kizazi Kipya; Tanasha Donna Oketch, anadaiwa kupanga kuwakutanisha mastaa kibao wa muziki huo...

READ MORE

Kuhamia Nyumba Mpya… Mobeto Yamkuta

DAR ES SALAAM: Baada ya picha za mjengo wake mpya uliopo maeneo ya Mbezi Beach, Dar kuvuja, mrembo Hamisa Mobeto...

READ MORE

MAMA: Sitaki Kuhusishwa na Wema

  MZAZI anaposema hataki kuhusishwa na mambo ya mwanaye, Kibongobongo anakuwa anamaanisha nini; kwamba amemchoka au ametoa uhuru wa mtoto...

READ MORE

HARMO wimbo wake mpya… Matatani tena!

AMKENIII! Wimbo wake wa Hainistui umemtia matatani tena msanii maarufu Bongo, Rajabu Abdul Kahali a.k.a Harmonize au Harmo.  Dishi la...

READ MORE

MBIVU, MBICHI PENZI LA MARIOO, MIMI MARS

MARIOO jina lake halisi ni Omary Ally Mwanga. Huyu jamaa anatajwa kuwa ndiye mfalme ajaye wa muziki wa Bongo Fleva. ...

READ MORE

MAUA SAMA THT ILINIONDOA UOGA!

MAUA Sama ni miongoni mwa warembo ambao Kibongobongo wanafanya vizuri.  Amezungumza na Gazeti la Risasi Mchanganyiko mambo mengi yanayohusiana na...

READ MORE