Najua Uliimiss ‘Kizaizai’ ya Daimond Sasa Nimekuwekea Hapa….
Yanaanza kama safari twende folani ukaone,
Kumbe yana nguvu ni hatari ukishanasa ndio uponie..x2
Mungu aliumba dunia na Maajabu yaake
Ya mwenzako sikia omba yasikupate, eeih ..x2
{Chorous} x2
Nyie Mapenzi yanauma (Kizaizai)…
