The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

erasto nyoni

Nyoni, Kennedy mambo safi Simba

MABOSI wa Simba wameamua kuidhibiti mapema safu yao ya ulinzi hiyo ni baada ya kuwapa mikataba walinzi wake wengine wawili waliokuwa wakimaliza mikataba ambao ni Kennedy Juma na Erasto Nyoni tayari kwa kuivaa Yanga Mei 8, mwaka huu bila…

Wachezaji Waapa, Okwi Arejea

WACHEZAJI wa Simba, Haruna Niyonzima na Erasto Nyoni wamesema Jumamosi ni kufa au kupona dhidi ya AS Vita. Lakini habari njema ni kwamba straika matata wa Simba, Emmanuel Okwi jana jumatano jioni alirejea mazoezini kwenye uwanja wa Boko…

Nyoni: Sasa Waje Wengine

MFUNGAJI wa bao pekee la Simba dhidi ya Yanga, Erasto Nyoni amesema sasa wamesahau juu ya mchezo huo na wanajipanga kwa ajili ya kuwakabili Ndanda FC, kesho Jumapili. Nyoni beki wa zamani wa Azam FC, Jumapili iliyopita…

Nyoni Apewa Ufalme Simba

ACHANA na bao alilolifunga dhidi ya Yanga, Kocha wa Simba, Pierre Lechantre amemtangaza beki wake kiraka Erasto Nyoni kuwa ndiye mchezaji wake bora kikosini mwake. Nyoni katika mechi iliyopita dhidi ya Yanga, alifunga bao…