Gazetia la ‘Ijumaa’ Laanza Kumwaga Zawadi kwa Wasomaji
GAZETI namba moja la habari za burudani na mastaa nchini la Ijumaa limekuja kivingine baada ya kuzindua promosheni yake mpya ya chemsha bongo ambayo itakuwa inawawezesha wasomaji kujinyakulia zawadi kibao ikiwemo mkwanja kila wiki.…
