The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Kesi

Kesi ya Zuma Kuanza Kusikilizwa Leo

KESI ya ufisadi dhidi ya Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma inatarajiwa kuanza leo, baada ya kuahirishwa mara kadhaa. Zuma, 79, alidharau ombi la kufika mbele ya tume ya uchunguzi ambayo mwenyekiti wake ni hakimu Ray Zondo.…

Mahakama: Majadiliano Kati ya DDP na Seth Yamalizwe

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka kufuatilia majadiliano ya kuimaliza kesi iliyowasilishwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) dhidi ya mwenyekiti mtendaji wa PAP, Harbinder Seth na aliyekuwa mwanasheria wa…

Pedeshee Ndama Apandishwa Kizimbani Tena

MFANYABIASHARA Ndama Hussein maarufu kama'Pedeshee Ndama' na mwenzake Yusuph Hassan wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka sita likiwemo la kujipatia Dola 150, 000 kwa njia ya udanganyifu.…

Alichosema Hakimu Kesi ya Lissu

HAKIMU wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Thomas Simba, ameahirisha kesi inayomkabili Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema ), Tundu Lissu na wenzake ya kuchapisha habari ya uchochezi kinyume na Sheria ya…