The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Kuku

Afariki kwa Kula Nyama ya Kuku Mgonjwa

Binti mwenye umri wa 7 kutoka kijiji cha Igumo wadi ya Marimanti katika Kaunti ya Tharaka Nithi nchini Kenya ameaga dunia, huku watoto wengine saba na mtu mzima mmoja wakilazwa hospitalini baada ya kula kitoweo cha kuku aliyekuwa…

Mwanamke Ajifungua Kuku Kigoma

MWANAMKE mmoja wilayani Uvinza mkoani Kigoma, amejifungua kuku katika kituo cha Afya Uvinza baada ya kufika kituoni hapo akidai anapata maumivu ya tumbo. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,…

KIOJA KUKU ‘KUBAKWA’ NA WATU

ARUSHA: Wakazi wa Mtaa wa Bonny City, Kata ya Muriet jijini Arusha, wamekumbwa na hofu ya ushirikina kufuatia kuzuka kwa kioja cha madai ya kubakwa na kunajisiwa kwa kuku wao na ‘watu’ wasiojulikana, Risasi Jumamosi linakupa undani wa…

Mapishi ya Makange ya Kuku

LEO tutaona jinsi ya kupika makange ya nyama ya kuku ikiwa ni kutokana na mfululizo wa kujifunza kupika vyakula vya aina mbalimbali. MATAYARISHO NA KUPIKA Kuku 1 Mafuta ya kupikia lita 1 Tangawizi iliyotwangwa…

Nay Ageukia Ufugaji wa Kuku!

Makala: Boniphace Ngumije na Ally Katalambula | GAZETI LA IJUMAA KUFUATIA mambo mengi kumtokea Mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ tangu aachie wimbo wake wa Wapo, jamaa ameamua kubadilisha mfumo wa maisha yake ya kila…