The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Mawaziri

Kumradhi Mawaziri Wa Afya

Jana, Machi 8, 2021 katika mtandao huu, kuliripotiwa taarifa iliyokuwa na kichwa cha habari: MAWAZIRI WA AFYA WAIKUBALI IMMUNO BOOSTER KUPAMBANA NA CHANGAMOTO ZA UPUMUAJI. Msingi wa habari hiyo, ilikuwa ni Waziri wa Afya,…

Rais Magufuli Asisitiza Kuhamia Dodoma

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 16 Machi, 2017 ametembelea eneo la ujenzi wa Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma na kuwahakikishia wananchi kuwa atahamia Dodoma hivi karibuni kama alivyoahidi.…

Mawaziri 15 tu!

Na Daniel Mbega WAKATI uchumi wa Tanzania ni mdogo, baraza la mawaziri limeonekana kuwa kubwa na mzigo kwa taifa, tofauti na mabaraza ya nchi ambazo uchumi wake ni mkubwa, kama Marekani, China, Uingereza na hata nchi jirani ya Kenya,…