Mnyama alivyoliwa Taifa mchana kweupeee
Kiungo wa Simba, Awadhi Juma akimiliki mpira.
Said Ally na Ibrahim Mussa
MBIO za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa timu ya Simba zimepata ugumu baada ya timu hiyo kukubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Toto Africans kwenye Uwanja wa…
