MBUNGE AKABIDHI MISAADA YA CHAKULA KWA WAZIRI MKUU
MBUNGE wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mohammed Razar, amemkabidhi msaada wa chakula kwa Waziri, Kassim Majaliwa kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wenye uhaba wa chakula.
Mbali na hilo, Razar amempa nafasi Majaliwa amchagulie…
