Davina: Filamu Imebuma, Najiongeza
Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameweka wazi kuwa baada ya sanaa hiyo kuonekana kubuma, sasa ameamua kujiongeza kwa kufanya biashara ya kufuata bidhaa nje ya nchi.
Akipiga stori na gazeti…
