TANZIA: Mbunifu wa Nembo ya Taifa Afariki Dunia Muhimbili
Mzee Francis Maige Kanyasu almaarufu Ngosha, aliyekuwa akidai kwamba ni miongoni mwa watu waliobuni na kuchora nembo ya taifa, amefariki dunia usiku wa Mei 29, 2017 kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akitibiwa.
Kwa mujibu…
