Kagera Yafikisha Asilimia 97 Sensa, Chalamila Atema Cheche
WAKATI leo ikiwa ndiyo siku ya mwisho ya sensa nchini mkuu wa mkoa wa Kagera Albert Chalamila, amesema kuwa mkoani kwake wamefikia asilimia 97.4 hadi sasa.
Mkuu wa Mkoa huo amesema kuwa makadirio yaliyofanywa na mtakwimu…
