VIDEO: Rais Magufuli Akabidhiwa Ripoti ya Mchanga wa Madini
IKULU, DAR ES SALAAM: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumatano, Mei 24, 2017 amepokea rasmi Ripoti ya Kamati Maalum ya Utafiti wa Mchanga (Makanikia) uliomo kwenye makontena yaliyozuiliwa kwenye…
