The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Sadney Urikhob

Mnamibia wa Yanga akwama kwao

WAKATI kikosi cha Yanga kikiwa kimeingia kambi rasmi juzi Jumatatu, nyota wa kigeni wa klabu hiyo, raia wa Namibia, Sadney Khoetage Urikhob ameshindwa kuripoti kwa wakati kutokana na kuwa na matatizo ya kifamilia. Yanga…

Mbelgiji ampitisha Mnamibia Simba

KOCHA wa Simba, Patrick Aussems raia wa Ubelgiji amefunguka kuwa kama akiamua kumsajili mchezaji mmoja kwa sasa ndani ya kikosi hicho anamfikiria zaidi straika Mnamibia Sadney Urikhob kwani ni mchezaji ambaye ana vitu tofauti na wachezaji…