×

Tag: Unyama

Mama Achinja Watoto Wake Wawili – Video

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Mwanamke mmoja mkazi wa Lalago wilaya ya Maswa mkoani Simiyu ameuwa watoto wake wawili kwa...

READ MORE

Hili Ndilo Kabila la Wala Watu, Ukifiwa Unakatwa Kidole

UKIHADITHIWA tu na mtu yeyote unaweza kusema ni hadithi ya kutungwa, lakini ukweli ni kwamba kuna watu huko kwenye visiwa...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumuingilia Mbwa na Kumuua

JAMAA mmoja aliyefahamika kwa jina la Boniface Mutuku Munyao wa Kangundo, Machakos nchini Kenya,  amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kumbaka...

READ MORE

Mama Ambipu Sirro! Amfanyia Unyama Mwanaye

SIKU chache baada ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Nyakoro Sirro kuzindua dawati la jinsia na watoto...

READ MORE

MAMA AMCHINJA MWANAYE LIVE NA KUMCHEMSHA SUPU UNYAMA ULIOJE?

NI unyama ulioje! Mtu kumuua mtoto wa kumzaa mwenyewe kisha kuchukua kisu na kumkatakata vipande vidogovidogo kisha nyama yake kuitia...

READ MORE

MTOTO AUAWA! MACHO, UBONGO, NGOZI VYANYOFOLEWA

LINDI: Unyama usioelezeka! Ndivyo unavyoweza kutokwa na maneno hayo baada ya kuambiwa mtoto Mutifati Abdilahi (5), Mkazi wa Kata ya...

READ MORE

Unyama wa Kutisha: Mtoto Mchanga Akutwa Ametupwa

POLISI Mkoa wa Mwanza imefanikiwa kumuokoa mtoto mchanga wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa siku moja hadi tatu aliyekuwa...

READ MORE

Wanawake Hujifunga Magome ya Miti au Majani Maalum Kuanzia Kiunoni na Matiti Huachwa Wazi, Kabila la Wala Watu-15

ELVAN STAMBULI NA MTANDAO| GAZETI LA UWAZI| MAKALA WIKI iliyopita nilieleza jinsi wanawake wa taifa hilo ambalo jamii yake inakula...

READ MORE

Wanawake Wengi Hubakwa na Kushambuliwa, Kabila la Wala Watu Sehemu ya 14

Na ELVAN STAMBULI| GAZETI LA UWAZI| MAKALA NAENDELEA kukuletea habari za watu wanaokula binadamu wenzao huko Papua New Guinea. Tumeeleza...

READ MORE

Wakati Lile Sakata la Mchanga Wenye Madini Likiundiwa Tume, Mkemia wa Madini Bongo Atekwa!

  Na WAANDISHI WETU| GAZETI LA UWAZI| HABARI MWANZA: Habari kubwa inayotikisa nchi kwa sasa ni ya  Rais Dk. John...

READ MORE

Kabila la Wala Watu-13, Wenyeji Hupata Mlo Mara Mbili kwa Siku, Chai ya Mchaichai…

NA ELVAN STAMBULI NA MTANDAO| GAZETI LA UWAZI| MAKALA NAENDELEA kusimulia jamii inayokula nyama ya watu inayoishi Papua New Guinea;...

READ MORE

Simanzi! Maiti ya Mtoto Yafichwa Ndani ya Gari Gereji Dar

Na GABRIEL NG`OSHA & MECKION MATHEW |GAZETI LA AMANI HABARI DAR ES SALAAM: Inauma sana jamani! Mtoto Queen Carlos miaka...

READ MORE

Mambo Matano ya Ajabu ya Kabila Hili ni Haya, Kabila la Wala Watu -11

Na ELVAN STAMBULI| GAZETI LA UWAZI| MAKALA KABILA la Wakorowai linalokula watu la Visiwa vya Papua New Guinea licha ya...

READ MORE

Mfanyabiashara Akurupushwa Porini Akichinja Mizoga ya Punda

PWANI: Kweli ni hatari kubwa! Wabongo wanakula vingi ambavyo hawavijui vilikotoka hali inayohatarisha afya zao! Hilo limedhihirika Machi 6, mwaka...

READ MORE

Anayekamatwa kwa Uchawi, Huliwa Nyama Yake, Kabila la Wala Watu-9

WAKATI ulaji wa nyama za watu ukitajwa kuwa hufanywa kutokana na matambiko maalum ya baadhi ya makabila nchini Papua New...

READ MORE

Kabila la Wala Watu -6 …Kumbe Machifu Wao Wamewakausha Kwa Moto wa Moshi

ELVAN STAMBULI| UWAZI| MAAJABU YA DUNIA TUNAENDELA   kuwasimulia habari ya kweli ya kusisimua kuhusu makabila ya jamii moja nchini Papua...

READ MORE

Ambaka Mama`ke Hadi Kifo

Marehemu  Fatuma Mohammed Matutu enzi uhai wake. Na Boniface Ngumije | AMANI, DAR ES SALAAM Dunia imekwisha! Hiyo ndiyo lugha...

READ MORE