The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Uso kwa uso na mtoa roho

Uso kwa uso na mtoa roho!-9

ILIPOISHIA: Huku nikitetemeka, nilisogea mpaka pale yule mganga alipokuwa amelala, akiendelea kukoroma kwa nguvu, mimi nikamshika miguuni na baba akamshika kichwani, tukaanza kumkokota kumtoa nje ya eneo letu, tukaenda kumbwaga pembeni…

Uso kwa Uso na Mtoa Roho!-8

ILIPOISHIA: Akawa anazunguka huku na kule kama anayetafuta kitu fulani pale nje kwetu, ghafla nikaona mlango ukifunguliwa, baba akatoka kwa kasi na kuwapita watu wote, akasogea mpaka pale yule mganga alipokuwa amesimama, wakawa…

Uso kwa uso na mtoa roho!-6

ILIPOISHIA: “Tumechoshwa na uchawi hapa kijijini kwetu. Kwa pamoja tumefanikisha ujio wa mganga Mabwanji kutoka Malawi kwa lengo la kusafisha kijiji chetu. Wale wote waliokuwa wanaringia uchawi wao, kiboko yao amewasili, karibu uwasalimie…

Uso kwa uso na mtoa roho!-4

ILIPOISHIA: “Kumbe ni kweli!” nilijikuta nimeropoka kwa sauti kubwa, kauli iliyosababisha wanafunzi wote pamoja na mwalimu wanigeukie pale nilipokuwa nimekaa, nikasikia miguno ya chinichini ikitawala darasa zima. SASA ENDELEA... “Ni…

Uso kwa uso na mtoa roho!-3

ILIPOISHIA: “Sasa pale si walikuwa wawili? Huyo mwingine ni nani?” “Si yule mwalimu wenu, Mwashambwa?” “Mwalimu wetu Mwashambwa anayetufundisha hesabu naye ni mchawi?” niliuliza kwa mshangao mkubwa huku mdomo nikiwa nimeuacha wazi. SASA…

Uso kwa uso na mtoa roho!-2

ILIPOISHIA: “Wale ni wachawi wanaosumbua watu kijijini kwetu, naona wametangaza vita na mimi, hawanijui hawa,” alisema baba na kama ilivyotokea mara ya kwanza, aliyeyuka na kupotea eneo lile, wale wachawi nao wakapotea kwenye upeo wa macho…

Uso kwa uso na mtoa roho!

Jina langu naitwa Togolai Mahimba ni mtoto wa mwisho kati ya watoto saba wa baba yetu, Sinai Mahimba ambaye kwa sasa ni marehemu. Baba yetu alifariki miaka mitatu iliyopita baada ya kuugua ghafla. Kifo chake kilitawaliwa na utata mkubwa na…