Kocha Kaamua! Suarez, Vidal, Umtiti, Rakitic Out Barcelona
TAARIFA za kuachwa kwa mastaa wa soka wa timu ya Barcelona ya Hispania zimetolewa na vyombo vya habari nchini humo siku kadhaa baada ya Ronald Koeman kutangazwa rasmi kuwa kocha wa miamba hiyo, ambapo atahudumu hadi mwaka 2022.…
