TANZIA: Msanii wa Bongo Fleva, Mfaume Selemani ‘Dogo Mfaume’, aliyetamba zaidi na wimbo wake wa Kazi ya Dukani amefariki dunia leo.
Dogo Mfaume alikuwa Sober House (alikuwa akipata matibabu ya Matumizi ya Madawa ya Kulevya)
Marehemu alikuwa amepangiwa kufanya Operation ya Kichwa (ambapo alikuwa na Uvimbe) siku ya Ijumaa.
[…] tunayoweza kusema baada ya kupata taarifa za kushtusha za kifo cha msanii maarufu wa nyimbo za Mchiriku na Mnanda, Dogo Mfaume aliyefariki dunia jana mchana wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Amani lina data za kutosha. […]